3. Bahari iliona ikakimbia,Yordani ilirudishwa nyuma.
4. Milima iliruka kama kondoo waume,Vilima kama wana-kondoo.
5. Ee bahari, una nini, ukimbie?Yordani, urudi nyuma?
6. Enyi milima, mruke kama kondoo waume?Enyi vilima, kama wana-kondoo?
7. Tetemeka, Ee nchi, mbele za uso wa Bwana,Mbele za uso wa Mungu wa Yakobo.