Zab. 112:8-9 Swahili Union Version (SUV)

8. Moyo wake umethibitika hataogopa,Hata awaone watesi wake wameshindwa.

9. Amekirimu, na kuwapa maskini,Haki yake yakaa milele,Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.

Zab. 112