8. Siku zake na ziwe chache,Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.
9. Wanawe na wawe yatima,Na mkewe na awe mjane.
10. Kutanga na watange wanawe na kuomba,Watafute chakula mbali na mahame yao.
11. Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo,Wageni na wateke mapato ya kazi yake.