3. Akawakusanya kutoka nchi zote,Mashariki na magharibi, kaskazini na kusini.
4. Walitanga-tanga jangwani katika njia ya nyika;Hawakuona mji wa kukaa.
5. Waliona njaa, waliona na kiu,Nafsi yao ilikuwa ikizimia ndani yao.
6. Wakamlilia BWANA katika dhiki zao,Akawaponya na shida zao.