Zab. 106:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema,Kwa maana fadhili zake ni za milele.

2. Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya BWANA,Kuzihubiri sifa zake zote?

Zab. 106