Zab. 105:32-34 Swahili Union Version (SUV)

32. Badala ya mvua aliwapa mvua ya mawe,Na moto wa miali katika nchi yao.

33. Akaipiga mizabibu yao na mitini yao,Akaivunja miti ya mipaka yao.

34. Alisema, kukaja nzige,Na tunutu wasiohesabika;

Zab. 105