Zab. 104:9-12 Swahili Union Version (SUV)

9. Umeweka mpaka yasiupite,Wala yasirudi kuifunikiza nchi.

10. Hupeleka chemchemi katika mabonde;Zapita kati ya milima;

11. Zamnywesha kila mnyama wa kondeni;Punda mwitu huzima kiu yao.

12. Kandokando hukaa ndege wa angani;Kati ya matawi hutoa sauti zao.

Zab. 104