9. Umeweka mpaka yasiupite,Wala yasirudi kuifunikiza nchi.
10. Hupeleka chemchemi katika mabonde;Zapita kati ya milima;
11. Zamnywesha kila mnyama wa kondeni;Punda mwitu huzima kiu yao.
12. Kandokando hukaa ndege wa angani;Kati ya matawi hutoa sauti zao.