31. Utukufu wa BWANA na udumu milele;BWANA na ayafurahie matendo yake.
32. Aitazama nchi, inatetemeka;Aigusa milima, inatoka moshi.
33. Nitamwimbia BWANA maadamu ninaishi;Nitamshangilia Mungu wangu nikiwa hai;
34. Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake;Mimi nitamfurahia BWANA.