Zab. 103:7-9 Swahili Union Version (SUV)

7. Alimjulisha Musa njia zake,Wana wa Israeli matendo yake.

8. BWANA amejaa huruma na neema,Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili.

9. Yeye hatateta sikuzote,Wala hatashika hasira yake milele.

Zab. 103