Zab. 102:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Moyo wangu umepigwa kama majani na kukauka,Naam, ninasahau kula chakula changu.

5. Kwa ajili ya sauti ya kuugua kwanguMifupa yangu imegandamana na nyama yangu.

6. Nimekuwa kama mwari nyuni wa jangwani,Na kufanana na bundi wa mahameni.

Zab. 102