Zab. 10:15-17 Swahili Union Version (SUV)

15. Uuvunje mkono wake mdhalimu,Na mbaya, uipatilize dhuluma yake, hata usiione.

16. BWANA ndiye Mfalme milele na milele;Mataifa wamepotea kutoka nchi yake.

17. BWANA, umeisikia tamaa ya wanyonge,Utaitengeneza mioyo yao, utalitega sikio lako.

Zab. 10