13. Kisha wakawapa wana wa Haruni kuhani Hebroni pamoja na malisho yake, huo mji wa kukimbilia kwa ajili ya mwuaji, na Libna pamoja na malisho yake;
14. na Yatiri pamoja na malisho yake, na Eshtemoa pamoja na malisho yake;
15. na Holoni pamoja na malisho yake, na Debiri pamoja na malisho yake;
16. na Aini pamoja na malisho yake, na Yuta pamoja na malisho yake, na Bethshemeshi pamoja na malisho yake; miji kenda katika kabila hizo mbili.