41. Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi;
42. na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla;
43. na Eloni, na Timna, na Ekroni;
44. na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi;
45. na Yehudi, na Bene-beraki, na Gathrimoni;
46. na Meyarkoni, na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.