Yos. 19:41-46 Swahili Union Version (SUV)

41. Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi;

42. na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla;

43. na Eloni, na Timna, na Ekroni;

44. na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi;

45. na Yehudi, na Bene-beraki, na Gathrimoni;

46. na Meyarkoni, na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.

Yos. 19