Yos. 19:40-44 Swahili Union Version (SUV)

40. Kisha kura ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.

41. Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi;

42. na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla;

43. na Eloni, na Timna, na Ekroni;

44. na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi;

Yos. 19