40. Kisha kura ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.
41. Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi;
42. na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla;
43. na Eloni, na Timna, na Ekroni;
44. na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi;