1. Kisha kura ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana, kwa ajili ya hiyo kabila ya wana wa Simeoni, kwa kuandama jamaa zao; na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.
2. Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, na Sheba, na Molada;
3. na Hasarshuali, na Bala, na Esemu;
4. na Eltoladi, na Bethuli, na Horma;
5. na Siklagi, na Bethmarkabothi, na Hasarsusa;