Yos. 19:1-5 Swahili Union Version (SUV)

1. Kisha kura ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana, kwa ajili ya hiyo kabila ya wana wa Simeoni, kwa kuandama jamaa zao; na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.

2. Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, na Sheba, na Molada;

3. na Hasarshuali, na Bala, na Esemu;

4. na Eltoladi, na Bethuli, na Horma;

5. na Siklagi, na Bethmarkabothi, na Hasarsusa;

Yos. 19