Yos. 15:30-43 Swahili Union Version (SUV)

30. na Eltoladi, na Kesili, na Horma;

31. na Siklagi, na Madmana, na Sansana;

32. na Lebaothi, na Shilhimu, na Aini, na Rimoni; miji hiyo yote ni miji ishirini na kenda, pamoja na vijiji vyake.

33. Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, na Sora, na Ashna,

34. na Zanoa, na Enganimu, na Tapua, na Enamu;

35. na Yarmuthi, na Adulamu, na Soko, na Azeka;

36. na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.

37. Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi;

38. na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli;

39. na Lakishi, na Boskathi, na Egloni;

40. na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi;

41. na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

42. Libna, na Etheri, na Ashani;

43. na Yifta, na Ashna, na Nesibu;

Yos. 15