Yos. 13:17-20 Swahili Union Version (SUV)

17. na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni, na Bamoth-baali, na Beth-baal-meoni;

18. na Yahasa, na Kedemothi, na Mefaathi;

19. na Kiriathaimu, na Sibma, na Sereth-shahari katika kilima cha hilo bonde;

20. na Beth-peori, na nchi za matelemko ya Pisga, na Beth-yeshimothi;

Yos. 13