8. katika nchi ya vilima, na katika Shefela, na katika nchi ya Araba, na katika matelemko, na katika bara, na katika Negebu; nchi ya Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi;
9. mfalme wa Yeriko, mmoja; mfalme wa Ai, ulio karibu na Betheli, mmoja;
10. mfalme wa Yerusalemu, mmoja; mfalme wa Hebroni, mmoja;
11. mfalme wa Yarmuthi, mmoja; na mfalme wa Lakishi, mmoja;
12. mfalme wa Egloni, mmoja; na mfalme wa Gezeri, mmoja;