Yos. 12:13-19 Swahili Union Version (SUV)

13. mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;

14. mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;

15. mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;

16. mfalme wa Makeda, mmoja; na mfalme wa Betheli, mmoja;

17. mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;

18. mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;

19. mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;

Yos. 12