Yon. 1:6 Swahili Union Version (SUV)

Basi nahodha akamwendea, akamwambia, Una nini, Ewe ulalaye usingizi? Amka, ukamwombe Mungu wako; labda Mungu huyo atatukumbuka, tusipotee.

Yon. 1

Yon. 1:3-11