50. Wala mimi siutafuti utukufu wangu; yuko mwenye kutafuta na kuhukumu.
51. Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.
52. Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng’amua ya kuwa una pepo. Ibrahimu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.