Yn. 6:49-51 Swahili Union Version (SUV)

49. Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.

50. Hiki ni chakula kishukacho kutoka mbinguni, kwamba mtu akile wala asife.

51. Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.

Yn. 6