49. Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.
50. Hiki ni chakula kishukacho kutoka mbinguni, kwamba mtu akile wala asife.
51. Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.