Yn. 6:16-19 Swahili Union Version (SUV)

16. Hata ilipokuwa jioni wanafunzi wake wakatelemka baharini

17. wakapanda chomboni, wakaanza kuivuka bahari kwenda Kapernaumu. Nako kumekwisha kuwa giza, wala Yesu hajawafikia.

18. Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.

19. Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kukikaribia chombo; wakaogopa.

Yn. 6