Yn. 18:6-8 Swahili Union Version (SUV)

6. Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini.

7. Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti.

8. Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.

Yn. 18