Yn. 17:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

6. Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.

7. Sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako.

Yn. 17