Yn. 11:32 Swahili Union Version (SUV)

Basi Mariamu alipofika pale alipokuwapo Yesu, na kumwona, alianguka miguuni pake, akamwambia, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Yn. 11

Yn. 11:24-36