Yer. 51:44 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitafanya hukumu juu ya Beli katika Babeli, nami nitavitoa katika kinywa chake alivyovimeza; wala mataifa hawatamwendea tena; naam, ukuta wa Babeli utaanguka.

Yer. 51

Yer. 51:41-52