Yer. 41:6 Swahili Union Version (SUV)

Na Ishmaeli, mwana wa Nethania, akatoka Mizpa kwenda kuwalaki, akilia alipokuwa akiendelea; ikawa alipokutana nao akawaambia, Njoni kwa Gedalia, mwana wa Ahikamu.

Yer. 41

Yer. 41:1-13