Yer. 32:30 Swahili Union Version (SUV)

Maana wana wa Israeli, na wana wa Yuda, wametenda yaliyo mabaya tu mbele za uso wangu, tangu ujana wao; maana wana wa Israeli wamenichokoza tu kwa matendo ya mikono yao, asema BWANA.

Yer. 32

Yer. 32:26-32