Yer. 2:7 Swahili Union Version (SUV)

Nami nikawatia katika nchi ya shibe, mpate kula matunda yake na mema yake; lakini ninyi mlipoingia katika nchi ile, mliitia unajisi nchi yangu, na urithi wangu mliufanya kuwa chukizo.

Yer. 2

Yer. 2:6-17