Yer. 14:17 Swahili Union Version (SUV)

Nawe utawaambia neno hili, Macho yangu na yatiririke machozi, usiku na mchana, wala yasikome; kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjika mavunjiko makuu, kwa jeraha isiyoponyeka.

Yer. 14

Yer. 14:9-21