13. Mpendwa wangu ni kama mfuko wa manemaneUkilazwa usiku maziwani mwangu.
14. Mpendwa wangu ni kama kishada cha hina,Katika mizabibu huko Engedi.
15. Tazama, u mzuri, mpenzi wangu,U mzuri, macho yako ni kama ya hua.
16. Tazama, u mzuri, mpendwa wangu,Wapendeza, na kitanda chetu ni majani;