Rum. 4:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi, tusemeje juu ya Ibrahimu, baba yetu kwa jinsi ya mwili?

2. Kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.

3. Maana maandiko yasemaje? Ibrahimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.

Rum. 4