Rum. 3:10-15 Swahili Union Version (SUV)

10. kama ilivyoandikwa, ya kwamba,Hakuna mwenye haki hata mmoja.

11. Hakuna afahamuye;Hakuna amtafutaye Mungu.

12. Wote wamepotoka, wameoza wote pia;Hakuna mtenda mema, la! Hata mmoja.

13. Koo lao ni kaburi wazi,Kwa ndimi zao wametumia hila.Sumu ya fira i chini ya midomo yao.

14. Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.

15. Miguu yao ina mbio kumwaga damu.

Rum. 3