21. Timotheo, mtenda kazi pamoja nami, awasalimu, na Lukio, na Yasoni, na Sosipatro, jamaa zangu.
22. Mimi Tertio, niliyeandika waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
23. Gayo, mwenyeji wangu na wa Kanisa lote pia awasalimu. Erasto, wakili wa mji, awasalimu, na Kwarto, ndugu yetu.[
24. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.]