Neh. 5:7 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo nikafanya shauri na nafsi yangu, nikagombana na wakuu na mashehe, nikawaambia, Mnatoza watu riba, kila mtu ndugu yake. Nikakutanisha mkutano mkubwa ili kushindana nao.

Neh. 5

Neh. 5:1-16