Neh. 5:12 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo wakasema, Tutawarudishia, wala hatutataka kitu kwao; tutafanya hivyo, kama ulivyosema. Kisha nikawaita makuhani, nikawaapisha, ya kwamba watafanya kama ahadi hiyo.

Neh. 5

Neh. 5:3-19