Neh. 12:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Miyamini, Maazia, Bilgai;

6. Shemaya, Yoyaribu, Yedaya;

7. Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.

8. Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.

Neh. 12