31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;
32. Anathothi, Nobu, Anania;
33. Hazori, Rama, Gitaimu;
34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;
35. Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.
36. Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.