Neh. 11:31-36 Swahili Union Version (SUV)

31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;

32. Anathothi, Nobu, Anania;

33. Hazori, Rama, Gitaimu;

34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;

35. Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.

36. Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.

Neh. 11