Mwa. 6:6-10 Swahili Union Version (SUV)

6. BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.

7. BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.

8. Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA.

9. Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.

10. Nuhu akazaa wana watatu wa kiume, Shemu, na Hamu, na Yafethi.

Mwa. 6