Mwa. 39:6 Swahili Union Version (SUV)

Akayaacha yote aliyokuwa nayo mkononi mwa Yusufu; wala hakujua habari za kitu cho chote chake, ila hicho chakula alichokula tu.Naye Yusufu alikuwa mtu mzuri, na mwenye uso mzuri.

Mwa. 39

Mwa. 39:4-12