Mwa. 37:22 Swahili Union Version (SUV)

Reubeni akawaambia, Msimwage damu; mtupeni katika birika hii iliyopo nyikani, wala msimguse; ili apate kumwokoa katika mikono yao, akamrudishe kwa baba yake.

Mwa. 37

Mwa. 37:12-29