Mwa. 23:13 Swahili Union Version (SUV)

Akamwambia Efroni, na watu wa nchi wanasikiliza, akisema, Tafadhali unisikilize; nitatoa kima cha shamba, nawe ukipokee kwangu, nami nitamzika humo maiti wangu.

Mwa. 23

Mwa. 23:10-20