Mwa. 11:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.

15. Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.

16. Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.

Mwa. 11