Mt. 6:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Utusamehe deni zetu,kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.

13. Na usitutie majaribuni,lakini utuokoe na yule mwovu.[Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele.Amina.]

14. Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.

Mt. 6