25. Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
26. Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.
27. Na pamoja naye walisulibisha wanyang’anyi wawili, mmoja mkono wake wa kuume na mmoja mkono wake wa kushoto. [
28. Basi andiko likatimizwa linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.]