26. Nao walipokwisha kuimba walitoka kwenda mlima wa Mizeituni.
27. Yesu akawaambia, Mtakunguwazwa ninyi nyote kwa ajili yangu usiku huu; kwa kuwa imeandikwa,Nitampiga mchungaji, na kondoo watatawanyika.
28. Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.