Mk. 14:26-28 Swahili Union Version (SUV)

26. Nao walipokwisha kuimba walitoka kwenda mlima wa Mizeituni.

27. Yesu akawaambia, Mtakunguwazwa ninyi nyote kwa ajili yangu usiku huu; kwa kuwa imeandikwa,Nitampiga mchungaji, na kondoo watatawanyika.

28. Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Mk. 14