5. Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwana-punda?
6. Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza, nao wakawaruhusu.
7. Wakamletea Yesu yule mwana-punda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.
8. Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.