31. Lakini akipatikana, atalipa mara saba;Atatoa mali yote ya nyumba yake.
32. Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
33. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.
34. Maana wivu ni ghadhabu ya mtu;Wala hatahurumia siku ya kujilipiza kisasi.