Mit. 6:31-34 Swahili Union Version (SUV)

31. Lakini akipatikana, atalipa mara saba;Atatoa mali yote ya nyumba yake.

32. Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

33. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.

34. Maana wivu ni ghadhabu ya mtu;Wala hatahurumia siku ya kujilipiza kisasi.

Mit. 6