29. Ndivyo alivyo aingiaye kwa mke wa jirani yake;Kila mtu amgusaye huyo atakuwa na hatia.
30. Watu hawamdharau mwivi,Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa;
31. Lakini akipatikana, atalipa mara saba;Atatoa mali yote ya nyumba yake.
32. Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
33. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.